RAIS SAMIA SULUHU HASSAN | PONGEZI KWA KLAB YA SIMBA KWA USHINDI KATIKA MCHEZO WA MASHINDANO YA KOMBE LA SHIRIKISHO LA SOKA AFRIKA ( CAF )

TAARIFA RASMI YA PONGEZI


Kwa Klabu ya Simba SC – CAF Confederation Cup

Na: [My Media Digital arena - TEAM WORK ], Mwakilishi wa Michezo –  / MY MEDIA DIGITAL

Hongera nyingi kwa Klabu ya Simba kwa ushindi mkubwa katika mchezo wa Mashindano ya Kombe la Shirikisho la Soka Afrika (CAF Confederation Cup). Ushindi huu si tu kwamba umeleta furaha kwa mashabiki wenu, bali pia mmeipa heshima Tanzania nzima kwa kuipeperusha vyema bendera ya Taifa letu katika anga za kimataifa.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, kupitia taarifa iliyotumwa kwenye WhatsApp channel yake rasmi, leo saa 6:07 Jioni baada ya kumalizika kwa mchezo SIMBA VS STELLEN BOSCH, amewapongeza wachezaji, KWA ushindi na kuipa heshima nchi.

Kwa niaba ya wadau wa michezo nchini, tunawatia moyo Simba SC kuendelea na morali hiyo hadi kilele cha mashindano. Kila la heri katika hatua zinazofuata!



MY MEDIA DIGITAL

Karibu My Media Digital! Hii ni blog inayohusu ubunifu wa kidigitali, ikihusisha video editing, graphic design, na content creation. Tunakuletea mbinu bora na maarifa ya kusaidia kuboresha kazi zako za digital media. Endelea kufuatilia kwa mafunzo, makala, na updates za kisanaa!

Post a Comment

Previous Post Next Post